-
Ezekieli 22:28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
28 Lakini manabii wake wamepiga lipu matendo yao kwa chokaa. Wanaona maono ya uongo na kutoa uaguzi wa uongo,+ nao wanasema: “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi,” wakati Yehova mwenyewe hajasema.
-