-
Ezekieli 20:47Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
47 Ambia pori la kusini, ‘Sikia neno la Yehova. Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Angalia, ninawasha moto juu yako,+ nao utateketeza kila muti mubichi na kila muti wenye kukauka ndani yako. Mwali wa moto wenye kuwaka hautazimwa,+ na utachoma kila uso, kuanzia kusini mupaka kaskazini.
-