Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:14-16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Ee Mungu wa majeshi, rudia tafazali.

      Angalia chini ukiwa mbinguni na uone!

      Tunza muzabibu huu,+

      15 Shina* lenye mukono wako wa kuume umepanda,+

      Na uangalie mwana mwenye* umemutia nguvu kwa ajili yako mwenyewe.+

      16 Umeteketezwa kwa moto,+ umekatwa.

      Wanaangamia kwa kemeo lako.*

  • Isaya 5:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kwa hiyo, kama vile mwali wa moto unateketeza majani ya kukauka

      Na kama vile majani ya kukauka yanajikunja katika miali ya moto,

      Mizizi yao itaoza,

      Na maua yao yatasambaa kama unga,

      Kwa sababu walikataa sheria ya* Yehova wa majeshi,

      Na walizarau neno la Mutakatifu wa Israeli.+

  • Yeremia 7:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘Angalia! Hasira yangu na kasirani yangu kali zitamwangwa juu ya mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na munyama, juu ya miti ya shamba na mazao ya udongo; itateketeza na haitazimishwa.’+

  • Ezekieli 20:47
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 47 Ambia pori la kusini, ‘Sikia neno la Yehova. Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Angalia, ninawasha moto juu yako,+ nao utateketeza kila muti mubichi na kila muti wenye kukauka ndani yako. Mwali wa moto wenye kuwaka hautazimwa,+ na utachoma kila uso, kuanzia kusini mupaka kaskazini.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine