-
Ezekieli 32:18Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 “Mwana wa binadamu, ombolezea vikundi vya watu vya Misri na umushushe kwenye inchi ya chini, yeye na mabinti wa mataifa yenye nguvu, pamoja na wale wenye kushuka katika shimo.*
-
-
Ezekieli 32:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 “‘Wataanguka kati ya wale wenye waliuawa kwa upanga.+ Ametolewa auawe kwa upanga; mumukokote mbali pamoja na vikundi vyake vyote vya watu.
-