Ezekieli 18:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Mujiondolee makosa yenu yote yenye mumefanya+ na mujipatie* moyo mupya na roho mupya,+ kwa maana sababu gani mukufe,+ Ee nyumba ya Israeli?’ 2 Petro 3:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Yehova* hakawie kuhusiana na ahadi yake,+ kama vile watu fulani wanaona kukawia, lakini yeye ni muvumilivu kuwaelekea ninyi kwa sababu hataki mutu yeyote aharibiwe lakini anataka wote wafikie kutubu.+
31 Mujiondolee makosa yenu yote yenye mumefanya+ na mujipatie* moyo mupya na roho mupya,+ kwa maana sababu gani mukufe,+ Ee nyumba ya Israeli?’
9 Yehova* hakawie kuhusiana na ahadi yake,+ kama vile watu fulani wanaona kukawia, lakini yeye ni muvumilivu kuwaelekea ninyi kwa sababu hataki mutu yeyote aharibiwe lakini anataka wote wafikie kutubu.+