21 Mutoe ripoti yenu, mulete kesi yenu ya hukumu.
Wapatiane mawazo kwa umoja.
Ni nani alitabiri jambo hili zamani sana?
Na kulitangaza tangu nyakati zenye zilipita?
Je, haiko mimi, Yehova?
Hakuna Mungu mwingine isipokuwa mimi;
Mungu mwenye haki na Mwokozi,+ hakuna mwingine isipokuwa mimi.+
22 Mugeuke mukuje kwangu na muokolewe,+ miisho yote ya dunia,
Kwa maana mimi ni Mungu, na hakuna mwingine.+