-
Amosi 3:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 ‘Mutangaze jambo hilo juu ya minara yenye ngome ya Ashdodi
Na juu ya minara yenye ngome katika inchi ya Misri.
Museme: “Mukusanyike ili kushambulia milima ya Samaria;+
Mujionee muvurugo katikati yake
Na upunjaji wenye kuwa ndani yake.+
10 Kwa maana hawajue kufanya mambo yenye kuwa sawa,” ni vile Yehova anasema,
“Wale wenye kukusanya jeuri na uharibifu katika minara yao yenye ngome.”’
-