Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Basi Yehova akakasirikia sana Israeli, na hivyo akawaondoa mbele ya macho yake.+ Hakuacha mutu yeyote abakie isipokuwa kabila la Yuda tu.

  • Amosi 3:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 ‘Mutangaze jambo hilo juu ya minara yenye ngome ya Ashdodi

      Na juu ya minara yenye ngome katika inchi ya Misri.

      Museme: “Mukusanyike ili kushambulia milima ya Samaria;+

      Mujionee muvurugo katikati yake

      Na upunjaji wenye kuwa ndani yake.+

      10 Kwa maana hawajue kufanya mambo yenye kuwa sawa,” ni vile Yehova anasema,

      “Wale wenye kukusanya jeuri na uharibifu katika minara yao yenye ngome.”’

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine