Zaburi 136:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 136 Mumushukuru Yehova, kwa maana ni mwema;+Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+ Matayo 19:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Yesu akamuambia: “Sababu gani unaniuliza juu ya mambo mema? Kuko mumoja tu mwenye kuwa mwema.+ Lakini, kama unataka kuingia katika uzima, ushike amri sikuzote.”+
17 Yesu akamuambia: “Sababu gani unaniuliza juu ya mambo mema? Kuko mumoja tu mwenye kuwa mwema.+ Lakini, kama unataka kuingia katika uzima, ushike amri sikuzote.”+