-
Hesabu 14:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kisha Yehova akamuambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunikosea heshima mupaka wakati gani,+ na watakataa kuniamini mupaka wakati gani ijapokuwa alama zote zenye nilifanya kati yao?+ 12 Acha niwapige kwa ugonjwa wa kuambukiza na kuwafukuza, na acha nikufanye wewe kuwa taifa kubwa zaidi na lenye nguvu zaidi kuliko wao.”+
-