Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kisha Yehova akamuambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunikosea heshima mupaka wakati gani,+ na watakataa kuniamini mupaka wakati gani ijapokuwa alama zote zenye nilifanya kati yao?+ 12 Acha niwapige kwa ugonjwa wa kuambukiza na kuwafukuza, na acha nikufanye wewe kuwa taifa kubwa zaidi na lenye nguvu zaidi kuliko wao.”+

  • Hesabu 16:46
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 46 Kisha Musa akamuambia Haruni, “Kamata chetezo na utie moto ndani yake kutoka katika mazabahu+ na utie uvumba juu yake na uende haraka kwenye mukusanyiko na ufunike zambi kwa ajili yao,+ kwa sababu kasirani imetoka kwa Yehova. Pigo limeanza!”

  • Hesabu 25:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Wakati Israeli alikuwa anakaa Shitimu,+ watu walianza kufanya uasherati na mabinti wa Moabu.+

  • Hesabu 25:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Watu wenye walikufa katika pigo hilo walikuwa elfu makumi mbili na ine (24 000).+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine