Zaburi 11:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Yehova iko* katika hekalu lake takatifu.+ Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+ Macho yake mwenyewe yanaangalia, macho yake yenye kuwa na uangalifu* yanachunguza wana wa binadamu.+
4 Yehova iko* katika hekalu lake takatifu.+ Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+ Macho yake mwenyewe yanaangalia, macho yake yenye kuwa na uangalifu* yanachunguza wana wa binadamu.+