Mezali 14:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Mwenye anapunja mutu wa hali ya chini anatukana Mutengenezaji wake,+Lakini mutu yeyote mwenye anasikilia maskini huruma anamutukuza Mungu.+ Yakobo 5:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Muangalie! Malipo yenye mulikataa kulipa wafanyakazi wenye walivuna mashamba yenu yanaendelea kulia kwa sauti kubwa, na vilio vya kuomba musaada vya wavunaji vimefika kwenye masikio ya Yehova* wa majeshi.+
31 Mwenye anapunja mutu wa hali ya chini anatukana Mutengenezaji wake,+Lakini mutu yeyote mwenye anasikilia maskini huruma anamutukuza Mungu.+
4 Muangalie! Malipo yenye mulikataa kulipa wafanyakazi wenye walivuna mashamba yenu yanaendelea kulia kwa sauti kubwa, na vilio vya kuomba musaada vya wavunaji vimefika kwenye masikio ya Yehova* wa majeshi.+