Isaya 43:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 “Muko mashahidi wangu,”+ ni vile Yehova anasema,“Ndiyo, mutumishi wangu mwenye nimechagua,+Ili mujue na kuniamini,*Na muelewe kwamba mimi ni uleule.+ Mbele yangu hapakukuwa Mungu mwenye alifanyizwa,Na kisha mimi hakujakuwa mwingine.+ Isaya 46:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Mupaka wakati mutazeeka nitakuwa uleule;+Mupaka wakati kichwa chenu kitakuwa na imvi nitaendelea kuwabeba. Kama vile nimefanya, nitawachukua na kuwabeba na kuwaokoa.+ Yakobo 1:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Kila zawadi ya muzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu,+ inashuka kutoka kwa Baba wa miangaza ya mbinguni,+ mwenye habadilike ao kugeuka kama kivuli chenye kugeuka-geuka.*+
10 “Muko mashahidi wangu,”+ ni vile Yehova anasema,“Ndiyo, mutumishi wangu mwenye nimechagua,+Ili mujue na kuniamini,*Na muelewe kwamba mimi ni uleule.+ Mbele yangu hapakukuwa Mungu mwenye alifanyizwa,Na kisha mimi hakujakuwa mwingine.+
4 Mupaka wakati mutazeeka nitakuwa uleule;+Mupaka wakati kichwa chenu kitakuwa na imvi nitaendelea kuwabeba. Kama vile nimefanya, nitawachukua na kuwabeba na kuwaokoa.+
17 Kila zawadi ya muzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu,+ inashuka kutoka kwa Baba wa miangaza ya mbinguni,+ mwenye habadilike ao kugeuka kama kivuli chenye kugeuka-geuka.*+