-
Marko 1:32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Kisha mangaribi kufika, wakati jua lilikuwa limeshuka, watu wakaanza kumuletea wote wenye walikuwa wagonjwa na wenye walikuwa na pepo wachafu;+
-
-
Matendo 5:16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Pia, watu wengi kutoka kwenye miji yenye kuzunguka Yerusalemu wakaendelea kuja, wakiwa wamebeba wagonjwa na wale wenye kusumbuliwa na roho wachafu, na wote walikuwa wanaponyeshwa.
-