21 Akawaambia tena: “Watu hawalete taa ili kuiweka chini ya kitunga* ao chini ya kitanda, haiko vile? Je, hawailete ili kuiweka juu ya kinara cha taa?+
33 Wakati mutu amewasha taa, haiweke mahali kwenye kujificha, ao chini ya kitunga,* lakini anaiweka juu ya kinara cha taa,+ ili wenye kuingia ndani waone mwangaza.