-
Marko 7:20-22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Tena akasema: “Kitu chenye kutoka ndani ya mutu ni kile kinamuchafua.+ 21 Kwa maana ndani ya watu, katika mioyo yao,+ munatoka mawazo ya mubaya: uasherati,* wizi, mauaji, 22 matendo ya uzinifu, pupa, matendo ya uovu, udanganyifu, mwenendo mupotovu wa bila haya,* jicho lenye wivu, matukano juu ya Mungu, majivuno, na upumbavu.
-