Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 “Kama mwanaume anamuoa mwanamuke lakini hapendezwe naye kwa sababu alipata jambo fulani lenye halifae juu yake, anapaswa kuandika cheti cha kuvunja ndoa kwa ajili ya mwanamuke huyo,+ kumupatia cheti hicho, na kumufukuza atoke katika nyumba yake.+

  • Matayo 19:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Na Wafarisayo wakakuja kwenye alikuwa wakiwa na nia ya kumujaribu, na wakauliza: “Je, inaruhusiwa mwanaume kuvunja ndoa na bibi yake kwa sababu yoyote?”+

  • Matayo 19:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Akawaambia: “Musa aliwaruhusu kuvunja ndoa na bibi zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu,+ lakini haikukuwa vile tangu mwanzo.+

  • Marko 10:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Na Wafarisayo wakamukaribia, wakiwa na kusudi la kumujaribu, na wakauliza kama inaruhusiwa mwanaume kuvunja ndoa na bibi yake.+

  • Marko 10:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Wakasema: “Musa aliruhusu kuandika cheti cha kumufukuza na kuvunja naye ndoa.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine