Matayo 18:33, 34 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 Je, wewe pia haungemusikilia mutumwa mwenzako huruma kama vile nilikusikilia huruma?’+ 34 Halafu, kwa sababu mufalme alikasirika sana, akamutia katika mikono ya walinzi wa gereza mupaka alipe deni lake lote. Yakobo 2:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Kwa maana ule mwenye hazoee kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema inapata ushindi juu ya hukumu.
33 Je, wewe pia haungemusikilia mutumwa mwenzako huruma kama vile nilikusikilia huruma?’+ 34 Halafu, kwa sababu mufalme alikasirika sana, akamutia katika mikono ya walinzi wa gereza mupaka alipe deni lake lote.
13 Kwa maana ule mwenye hazoee kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema inapata ushindi juu ya hukumu.