-
Luka 6:47-49Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
47 Kila mutu mwenye anakuja kwangu na kusikia maneno yangu kisha anayatenda, nitawaambia yeye anafanana na nani:+ 48 Anafanana na mutu mwenye wakati alijenga nyumba, alichimba na kushuka chini kabisa na akaweka musingi juu ya mwamba. Kisha, wakati mafuriko yalitokea, muto ukapiga nyumba hiyo lakini haukukuwa na nguvu ya kuitikisa, kwa maana ilikuwa imejengwa muzuri.+ 49 Kwa upande mwingine, mutu yeyote mwenye anasikia na hatende,+ ni kama mutu mwenye alijenga nyumba kwenye udongo bila musingi. Muto ukaipiga, na mara moja ikaanguka, na uharibifu wa nyumba hiyo ukakuwa mukubwa.”
-