Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Luka 6:47-49
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 47 Kila mutu mwenye anakuja kwangu na kusikia maneno yangu kisha anayatenda, nitawaambia yeye anafanana na nani:+ 48 Anafanana na mutu mwenye wakati alijenga nyumba, alichimba na kushuka chini kabisa na akaweka musingi juu ya mwamba. Kisha, wakati mafuriko yalitokea, muto ukapiga nyumba hiyo lakini haukukuwa na nguvu ya kuitikisa, kwa maana ilikuwa imejengwa muzuri.+ 49 Kwa upande mwingine, mutu yeyote mwenye anasikia na hatende,+ ni kama mutu mwenye alijenga nyumba kwenye udongo bila musingi. Muto ukaipiga, na mara moja ikaanguka, na uharibifu wa nyumba hiyo ukakuwa mukubwa.”

  • Yakobo 1:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Lakini ule mwenye anaangalia katika sheria kamilifu+ ya uhuru na anaendelea kuwa katika hiyo, amekuwa, hapana musikiaji musahaulifu, lakini mutendaji wa kazi; na atafurahia kile chenye anafanya.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine