2 Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na makuhani wenzake na Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na ndugu zake wakasimama na kujenga mazabahu ya Mungu wa Israeli, ili wakuwe wanatoa zabihu za kuteketezwa juu yake, kama vile iliandikwa katika Sheria ya Musa,+ mutu wa Mungu wa kweli.