Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Luka 2:30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya wokovu+

  • Yohana 1:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Siku yenye ilifuata alimuona Yesu anakuja kwake, na akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu mwenye anatosha zambi+ ya ulimwengu!+

  • Matendo 4:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mutu mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina lingine+ chini ya mbingu lenye wanadamu walipewa, lenye kupitia hilo tunapaswa kuokolewa.”+

  • Matendo 5:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Huyo, Mungu alimuinua kuwa Kiongozi Mukubwa+ na Mwokozi+ kwenye mukono wake wa kuume,+ ili Israeli ipate kutubu na kupokea musamaha wa zambi.+

  • Waefeso 1:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kupitia yeye tunaachiliwa huru kwa njia ya bei ya ukombozi kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, musamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fazili zake zenye hazistahiliwe.

  • Waebrania 7:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Basi anaweza pia kuokoa kwa ukamili wale wenye wanamukaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu sikuzote iko* muzima ili kuwaombea.+

  • 1 Petro 2:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Yeye mwenyewe alibeba zambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya muti,+ ili tukufe kuhusiana* na zambi na tuishi kuhusiana na haki. Na “kwa vidonda vyake muliponyeshwa.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine