Luka 2:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Kisha siku munane (8), wakati muda wa kumutahiri ulifika,+ wakamupatia jina Yesu. Malaika alimupatia jina hilo mbele mama yake apate mimba.+
21 Kisha siku munane (8), wakati muda wa kumutahiri ulifika,+ wakamupatia jina Yesu. Malaika alimupatia jina hilo mbele mama yake apate mimba.+