-
Mambo ya Walawi 24:5-9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 “Utakamata unga muzuri na kupika mikate kumi na mbili (12) ya muviringo. Kila mukate utatengenezwa na sehemu mbili za kumi (2/10) za efa.* 6 Utapanga mikate hiyo moja juu ya ingine katika mistari mbili, kila mustari utakuwa na mikate sita (6),+ juu ya meza ya zahabu safi mbele ya Yehova.+ 7 Unapaswa kutia ubani safi juu ya kila mustari, na mikate hiyo itakuwa toleo la kumbukumbu+ lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto. 8 Kila siku ya Sabato, anapaswa kupanga mikate hiyo mbele ya Yehova kwa ukawaida.+ Ni agano la kudumu katikati yangu na Waisraeli. 9 Mikate hiyo itakuwa ya Haruni na wana wake,+ na wataikula katika mahali patakatifu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu sana kwa ajili yake kutoka katika matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto; itakuwa sharti la kudumu.”
-