-
Matayo 7:17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Vilevile, kila muti muzuri unazaa matunda ya muzuri, lakini kila muti wenye kuoza unazaa matunda yenye hayana mafaa yoyote.+
-
-
Luka 6:43Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
43 “Kwa maana hakuna muti muzuri wenye unazaa matunda yenye kuoza, na hakuna muti wenye kuoza wenye unazaa matunda ya muzuri.+
-