-
Marko 3:31-35Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
31 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakakuja, wakasimama inje, na wakamutuma mutu ndani amuite.+ 32 Kwa sababu watu wengi walikuwa wamekaa kumuzunguka, wakamuambia: “Angalia! Mama yako na ndugu zako wako inje wanakutafuta.”+ 33 Lakini akawajibu: “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?” 34 Kisha akaangalia watu wenye walikuwa wanakaa kumuzunguka na akasema: “Muangalie, hawa ndio mama yangu na ndugu zangu!+ 35 Kila mutu mwenye anafanya mapenzi ya Mungu, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+
-