Yeremia 31:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 “Yehova anasema hivi: ‘Sauti inasikiwa katika Rama,+ maombolezo na kilio cha uchungu: Raheli analia wana* wake.+ Amekataa kufarijiwa juu ya wana wake,Kwa sababu hawako tena.’”+
15 “Yehova anasema hivi: ‘Sauti inasikiwa katika Rama,+ maombolezo na kilio cha uchungu: Raheli analia wana* wake.+ Amekataa kufarijiwa juu ya wana wake,Kwa sababu hawako tena.’”+