Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 21:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Yesu akawajibu na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, kama muko na imani na hamuna mashaka, hamutafanya tu jambo lenye nilifanyia muti wa tini, lakini hata mukiambia mulima huu, ‘Ondoka na utupwe katika bahari,’ jambo hilo litatendeka.+

  • Marko 11:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Kwa kweli ninawaambia ninyi, kila mutu mwenye anaambia mulima huu, ‘Ondoka na utupwe katika bahari,’ na hana mashaka katika moyo wake lakini iko* na imani kwamba mambo yenye anasema yatafanyika, ni vile yatafanyika.+

  • Luka 17:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Kisha Bwana akasema: “Kama mungekuwa na imani yenye ukubwa wa mbegu ya haradali, mungeambia muti huu wa muforsadi mweusi, ‘Ongoka na upandwe katika bahari!’ na ungewatii.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine