Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Luka 12:33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 33 Muuzishe vitu vyenu na mutoe zawadi za rehema.*+ Mutengeneze mifuko ya feza yenye haiwezi kuzeeka, hazina yenye haiwezi kuisha kule mbinguni,+ kwenye mwizi hawezi kukaribia na nondo* hawezi kula.

  • Luka 18:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kisha kusikia vile, Yesu akamuambia, “Kungali jambo moja lenye unakosa: Uzisha vitu vyote vyenye uko navyo na ugawie maskini feza zote zenye utapata, na utakuwa na hazina mbinguni; kisha ukuje ukuwe mufuasi wangu.”+

  • Wafilipi 3:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Lakini, vitu vyenye vilikuwa faida kwangu, nimeviona kuwa upotevu* kwa sababu ya Kristo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine