33 Muuzishe vitu vyenu na mutoe zawadi za rehema.*+ Mutengeneze mifuko ya feza yenye haiwezi kuzeeka, hazina yenye haiwezi kuisha kule mbinguni,+ kwenye mwizi hawezi kukaribia na nondo* hawezi kula.
22 Kisha kusikia vile, Yesu akamuambia, “Kungali jambo moja lenye unakosa: Uzisha vitu vyote vyenye uko navyo na ugawie maskini feza zote zenye utapata, na utakuwa na hazina mbinguni; kisha ukuje ukuwe mufuasi wangu.”+