32 Sasa walikuwa katika barabara wakipanda kuenda Yerusalemu, na Yesu alikuwa mbele yao, na walishangaa, lakini wale wenye walifuata wakaanza kuogopa. Tena akachukua wale Kumi na Mbili (12) na kuenda nao pembeni na akaanza kuwaambia mambo haya yenye yalikuwa karibu kumupata:+