Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Marko 10:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Sasa walikuwa katika barabara wakipanda kuenda Yerusalemu, na Yesu alikuwa mbele yao, na walishangaa, lakini wale wenye walifuata wakaanza kuogopa. Tena akachukua wale Kumi na Mbili (12) na kuenda nao pembeni na akaanza kuwaambia mambo haya yenye yalikuwa karibu kumupata:+

  • Luka 18:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Kisha akachukua wale Kumi na Mbili (12) na kuenda nao pembeni na akawaambia: “Muangalie! Tunapanda kuenda Yerusalemu, na mambo yote yenye yaliandikwa kupitia manabii juu ya Mwana wa binadamu yatatimia.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine