Matayo 26:39 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 39 Na akaenda mbele kidogo, akapiga magoti na akainama mupaka chini, na kusali:+ “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki+ kipite mbali na mimi. Hata hivyo, hapana kama vile mimi ninapenda, lakini kama vile wewe unapenda.”+ Marko 10:38 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 38 Lakini Yesu akawaambia: “Hamujue kile munaomba. Je, munaweza kunywa kikombe chenye ninakunywa ao kubatizwa kwa ubatizo wenye ninabatizwa?”+ Marko 14:36 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 36 Na akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki. Haiko vile ninapenda, lakini, vile wewe unapenda.”+ Yohana 18:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Lakini, Yesu akamuambia Petro: “Rudisha upanga wako ndani ya mufuko wake.+ Je, sipaswe kunywa kikombe chenye Baba amenipatia?”+
39 Na akaenda mbele kidogo, akapiga magoti na akainama mupaka chini, na kusali:+ “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki+ kipite mbali na mimi. Hata hivyo, hapana kama vile mimi ninapenda, lakini kama vile wewe unapenda.”+
38 Lakini Yesu akawaambia: “Hamujue kile munaomba. Je, munaweza kunywa kikombe chenye ninakunywa ao kubatizwa kwa ubatizo wenye ninabatizwa?”+
36 Na akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki. Haiko vile ninapenda, lakini, vile wewe unapenda.”+
11 Lakini, Yesu akamuambia Petro: “Rudisha upanga wako ndani ya mufuko wake.+ Je, sipaswe kunywa kikombe chenye Baba amenipatia?”+