Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 26:39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Na akaenda mbele kidogo, akapiga magoti na akainama mupaka chini, na kusali:+ “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki+ kipite mbali na mimi. Hata hivyo, hapana kama vile mimi ninapenda, lakini kama vile wewe unapenda.”+

  • Marko 10:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Lakini Yesu akawaambia: “Hamujue kile munaomba. Je, munaweza kunywa kikombe chenye ninakunywa ao kubatizwa kwa ubatizo wenye ninabatizwa?”+

  • Marko 14:36
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 36 Na akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki. Haiko vile ninapenda, lakini, vile wewe unapenda.”+

  • Yohana 18:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Lakini, Yesu akamuambia Petro: “Rudisha upanga wako ndani ya mufuko wake.+ Je, sipaswe kunywa kikombe chenye Baba amenipatia?”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine