Marko 12:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Sasa Wasadukayo, wenye wanasema hakuna ufufuo,+ wakakuja na kumuuliza:+ Luka 7:30 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 30 Lakini Wafarisayo na wale wenye kujua sana Sheria walipuuza shauri lenye* Mungu aliwapatia,+ kwa kuwa hawakubatizwa na Yohana.)
30 Lakini Wafarisayo na wale wenye kujua sana Sheria walipuuza shauri lenye* Mungu aliwapatia,+ kwa kuwa hawakubatizwa na Yohana.)