Matayo 7:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 “Mufanye angalisho na manabii wa uongo+ wenye wanakuja kwenu katika ngozi* ya kondoo,+ lakini ndani wao ni imbwa wa pori wakali.+ 2 Petro 2:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Hata hivyo, kulikuwa pia manabii wa uongo kati ya watu, kama vile pia kutakuwa walimu wa uongo kati yenu.+ Hawa wataingiza kimya-kimya mazehebu* yenye kuharibu, na watamukana hata bwana mwenye aliwanunua,+ na kujiletea wenyewe uharibifu wa haraka.
15 “Mufanye angalisho na manabii wa uongo+ wenye wanakuja kwenu katika ngozi* ya kondoo,+ lakini ndani wao ni imbwa wa pori wakali.+
2 Hata hivyo, kulikuwa pia manabii wa uongo kati ya watu, kama vile pia kutakuwa walimu wa uongo kati yenu.+ Hawa wataingiza kimya-kimya mazehebu* yenye kuharibu, na watamukana hata bwana mwenye aliwanunua,+ na kujiletea wenyewe uharibifu wa haraka.