Danieli 7:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na angalia! mutu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu ya mbingu; na akapewa ruhusa ya kumukaribia Muzee wa Siku,+ na wakamuleta karibu mbele ya Huyo.
13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na angalia! mutu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu ya mbingu; na akapewa ruhusa ya kumukaribia Muzee wa Siku,+ na wakamuleta karibu mbele ya Huyo.