-
Mwanzo 6:11-13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Lakini dunia ilikuwa imeharibika mbele ya macho ya Mungu wa kweli, na dunia ilikuwa inajaa jeuri. 12 Ndiyo, Mungu akaangalia dunia, na ilikuwa imeharibika;+ kwa sababu miili yote ilikuwa imeharibu* njia yake juu ya dunia.+
13 Basi Mungu akamuambia Noa: “Nimeamua kuharibu miili yote, kwa kuwa dunia imejaa jeuri kwa sababu yao, kwa hiyo nitawaharibu pamoja na dunia.+
-