26 Zaidi ya hayo, kama vile ilikuwa katika siku za Noa,+ ni vile itakuwa katika siku za Mwana wa binadamu:+ 27 walikuwa wanakula, walikuwa wanakunywa, wanaume walikuwa wanaoa, wanamuke walikuwa wanaolewa mupaka ile siku Noa aliingia ndani ya safina,+ na Garika ikakuja na kuwaharibu wote.+