1 Watesalonike 5:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kwa maana ninyi wenyewe munajua muzuri sana kwamba siku ya Yehova*+ inakuja sawasawa kabisa na vile mwizi anakuja usiku.+ 2 Petro 3:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku yenye mbingu zitapitilia mbali+ kwa mungurumo,* lakini vitu vya musingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zenye ziko ndani yake vitafunuliwa.+
2 Kwa maana ninyi wenyewe munajua muzuri sana kwamba siku ya Yehova*+ inakuja sawasawa kabisa na vile mwizi anakuja usiku.+
10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku yenye mbingu zitapitilia mbali+ kwa mungurumo,* lakini vitu vya musingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zenye ziko ndani yake vitafunuliwa.+