-
Luka 12:45, 46Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
45 Lakini kama mutumwa huyo anasema katika moyo wake, ‘Bwana wangu anakawia kuja,’ na anaanza kupiga watumishi wanaume na watumishi wanamuke na kula na kunywa na kulewa,+ 46 bwana wa mutumwa huyo atakuja siku yenye hakumutazamia na saa yenye hajue, na atamupatia azabu kwa ukali mukubwa zaidi na kumupatia sehemu pamoja na wale wenye hawako waaminifu.
-