-
Luka 22:3-6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Kisha Shetani akaingia ndani ya Yuda, ule mwenye aliitwa Iskariote, mwenye alikuwa mumoja wa wale Kumi na Mbili (12),+ 4 na akaenda kuzungumuza na wakubwa wa makuhani na makapiteni wa hekalu juu ya namna ya kumusaliti kwao.+ 5 Wakafurahishwa na jambo hilo na wakasikilizana kumupatia feza.+ 6 Basi akakubali na kuanza kutafuta nafasi ya muzuri ya kumusaliti kwao bila watu wengi kuwa karibu.
-