Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Marko 14:10, 11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Na Yuda Iskariote, mumoja wa wale Kumi na Mbili (12), akaenda kwa wakubwa wa makuhani ili kumusaliti kwao.+ 11 Wakati walisikia jambo hilo, wakafurahi na wakaahidi kumupatia feza.+ Basi akaanza kutafuta nafasi ya kumusaliti.

  • Luka 22:3-6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kisha Shetani akaingia ndani ya Yuda, ule mwenye aliitwa Iskariote, mwenye alikuwa mumoja wa wale Kumi na Mbili (12),+ 4 na akaenda kuzungumuza na wakubwa wa makuhani na makapiteni wa hekalu juu ya namna ya kumusaliti kwao.+ 5 Wakafurahishwa na jambo hilo na wakasikilizana kumupatia feza.+ 6 Basi akakubali na kuanza kutafuta nafasi ya muzuri ya kumusaliti kwao bila watu wengi kuwa karibu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine