Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Hata mutu mwenye nilikuwa ninaishi naye kwa amani, mwenye nilitumainia,+

      Mwenye alikuwa anakula mukate wangu, ameinua kisigino chake ili kuniumiza.*+

  • Marko 14:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Akawaambia: “Ni mumoja wa wale Kumi na Mbili (12), ule mwenye anatia mukono wake katika bakuli pamoja na mimi.+

  • Luka 22:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 “Lakini, muangalie! mukono wa mutu mwenye kunisaliti uko pamoja na mimi kwenye meza.+

  • Yohana 13:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Yesu akajibu: “Ni ule mwenye nitapatia kipande cha mukate chenye ninaingiza katika bakuli.”+ Basi, kisha kuingiza mukate katika bakuli, akaukamata na kuupatia Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine