-
Marko 14:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Na wakati waliendelea kula, akakamata mukate, akatoa baraka, akauvunja, na akawapatia, na kusema: “Mukamate; huu unamaanisha mwili wangu.”+
-
-
1 Wakorinto 11:23-26Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile chenye niliwapatia ninyi pia, kwamba Bwana Yesu katika usiku+ wenye angesalitiwa, alichukua mukate, 24 na kisha kutoa shukrani, akauvunja na kusema: “Huu unamaanisha mwili wangu,+ wenye uko kwa ajili yenu. Muendelee kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”+ 25 Akafanya vilevile na kikombe+ pia, kisha wao kula chakula cha mangaribi, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa musingi wa damu yangu.+ Muendelee kufanya hivi, kila wakati wenye munakikunywa, kwa kunikumbuka mimi.”+ 26 Kwa maana kila wakati wenye munakula mukate huu na kunywa kikombe hiki, munaendelea kutangaza kifo cha Bwana, mupaka wakati atakuja.
-