Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Marko 14:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Na wakati waliendelea kula, akakamata mukate, akatoa baraka, akauvunja, na akawapatia, na kusema: “Mukamate; huu unamaanisha mwili wangu.”+

  • Luka 22:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Pia, akakamata mukate,+ akatoa shukrani, akauvunja, na akawapatia, na kusema: “Huu unamaanisha mwili wangu+ wenye utatolewa kwa ajili yenu.+ Muendelee kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”+

  • 1 Wakorinto 11:23-26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile chenye niliwapatia ninyi pia, kwamba Bwana Yesu katika usiku+ wenye angesalitiwa, alichukua mukate, 24 na kisha kutoa shukrani, akauvunja na kusema: “Huu unamaanisha mwili wangu,+ wenye uko kwa ajili yenu. Muendelee kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”+ 25 Akafanya vilevile na kikombe+ pia, kisha wao kula chakula cha mangaribi, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa musingi wa damu yangu.+ Muendelee kufanya hivi, kila wakati wenye munakikunywa, kwa kunikumbuka mimi.”+ 26 Kwa maana kila wakati wenye munakula mukate huu na kunywa kikombe hiki, munaendelea kutangaza kifo cha Bwana, mupaka wakati atakuja.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine