Kutoka 24:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Kwa hiyo Musa akakamata damu akainyunyiza* juu ya watu+ na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano lenye Yehova amefanya pamoja na ninyi kupatana na maneno hayo yote.”+ Yeremia 31:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 “Angalia! Siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati nitafanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+ Waebrania 7:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 vilevile pia Yesu amekuwa uhakikisho* wa agano la muzuri zaidi.+
8 Kwa hiyo Musa akakamata damu akainyunyiza* juu ya watu+ na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano lenye Yehova amefanya pamoja na ninyi kupatana na maneno hayo yote.”+
31 “Angalia! Siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati nitafanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+