Marko 13:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 Mufanye angalisho, muendelee kukesha,+ kwa maana hamujue wakati wenye uliwekwa utafika wakati gani.+ 1 Petro 5:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Mulinde akili zenu, mukuwe macho!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba mwenye kunguruma, akitafuta kumumeza mutu.*+ Ufunuo 16:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 “Angalia! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni ule mwenye anakaa macho+ na kuchunga nguo zake za inje, ili asitembee uchi na watu waangalie haya yake.”+
33 Mufanye angalisho, muendelee kukesha,+ kwa maana hamujue wakati wenye uliwekwa utafika wakati gani.+
8 Mulinde akili zenu, mukuwe macho!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba mwenye kunguruma, akitafuta kumumeza mutu.*+
15 “Angalia! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni ule mwenye anakaa macho+ na kuchunga nguo zake za inje, ili asitembee uchi na watu waangalie haya yake.”+