62 Kisha Yesu akasema: “Mimi ndiye; na mutaona Mwana wa binadamu+ akiwa amekaa kwenye mukono wa kuume+ wa nguvu na akikuja pamoja na mawingu ya mbinguni.”+
7 Angalia! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamuona, na wale wenye walimutoboa na mukuki; na makabila yote ya dunia yatajipiga-piga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.