-
Yohana 18:25-27Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama pale akiota moto. Kisha wakamuambia: “Wewe pia ni mumoja wa wanafunzi wake, haiko vile?” Akakana na kusema: “Hapana.”+ 26 Mumoja wa watumwa wa kuhani mukubwa, mwenye alikuwa mutu wa jamaa ya ule mutu mwenye Petro alikata sikio,+ akasema: “Mimi nilikuona katika bustani pamoja naye, haiko vile?” 27 Lakini Petro akakana tena, na mara moja jogoo akawika.+
-