Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yohana 18:25-27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama pale akiota moto. Kisha wakamuambia: “Wewe pia ni mumoja wa wanafunzi wake, haiko vile?” Akakana na kusema: “Hapana.”+ 26 Mumoja wa watumwa wa kuhani mukubwa, mwenye alikuwa mutu wa jamaa ya ule mutu mwenye Petro alikata sikio,+ akasema: “Mimi nilikuona katika bustani pamoja naye, haiko vile?” 27 Lakini Petro akakana tena, na mara moja jogoo akawika.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine