-
Isaya 9:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Lakini, gizagiza hilo halitakuwa kama wakati inchi ilikuwa na taabu, kama nyakati za zamani wakati inchi ya Zabuloni na inchi ya Naftali zilizarauliwa.+ Lakini kisha wakati fulani Yeye ataifanya iheshimiwe—njia ya pembeni ya bahari, katika eneo la Yordani, Galilaya ya mataifa.
2 Watu wenye walikuwa wanatembea katika giza
Wameona mwangaza mukubwa.
Na wale wenye kukaa katika inchi ya kivuli kizito,
Mwangaza umewaangazia.+
-