Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 16:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Tangu wakati huo, Yesu akaanza kufasiria wanafunzi wake kama ni lazima aende Yerusalemu na ateswe sana na wazee na wakubwa wa makuhani na waandishi na auawe, na siku ya tatu (3) afufuliwe.+

  • Matayo 17:22, 23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Ni wakati walikuwa wamekusanyika pamoja kule Galilaya, ndipo Yesu aliwaambia: “Mwana wa binadamu atasalitiwa katika mikono ya watu,+ 23 na watamuua, na siku ya tatu (3) atafufuliwa.”+ Kwa hiyo wakahuzunika sana.

  • 1 Wakorinto 15:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kwa maana kati ya mambo ya kwanza yenye niliwapatia ninyi kuko mambo yenye nilipokea pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya zambi zetu kulingana na Maandiko;+ 4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu (3)+ kulingana na Maandiko;+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine