22 Na mbegu yenye ilipandwa katikati ya miiba, huyo ndiye mutu mwenye anasikia neno, lakini mahangaiko ya mupangilio huu wa mambo*+ na nguvu za udanganyifu wa utajiri vinafinya lile neno, na halizae matunda.+
14 Na mbegu zenye zilianguka katikati ya miiba ni watu wenye wamesikia, lakini kwa kuwa wanabebwa na mahangaiko, utajiri,+ na raha za maisha haya,+ wanafinywa kabisa na hawafikie ukomavu.+