Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 6:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 “Kwa hiyo ninawaambia ninyi: Muache kuhangaikia+ uzima wenu* juu ya kile mutakula ao kile mutakunywa, ao miili yenu juu ya kile mutavaa.+ Je, uzima hauko wa* maana kuliko chakula na mwili hauko wa maana kuliko nguo?+

  • Matayo 24:38, 39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Kwa maana kama vile walikuwa katika siku hizo mbele ya Garika, walikuwa wanakula na kunywa, wanaume walikuwa wanaoa na wanamuke walikuwa wanaolewa, mupaka siku ile Noa aliingia ndani ya safina,+ 39 na hawakuhangaika mupaka Garika ikakuja na kuwaharibu wote,+ ni vile kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakuwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine