-
Matayo 24:38, 39Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
38 Kwa maana kama vile walikuwa katika siku hizo mbele ya Garika, walikuwa wanakula na kunywa, wanaume walikuwa wanaoa na wanamuke walikuwa wanaolewa, mupaka siku ile Noa aliingia ndani ya safina,+ 39 na hawakuhangaika mupaka Garika ikakuja na kuwaharibu wote,+ ni vile kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakuwa.
-