Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mezali 23:4, 5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Usijichokeshe ili kupata utajiri.+

      Acha na uonyeshe uelewaji.*

       5 Wakati unautupia jicho, hauko pale,+

      Kwa maana hakika utaota mabawa kama tai na kuruka mbali katika anga.+

  • Marko 10:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Kisha kuangalia huku na huku, Yesu akaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale wenye kuwa na feza kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+

  • Luka 18:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Yesu akamuangalia na kusema: “Itakuwa vigumu sana kwa wale wenye kuwa na feza kuingia katika Ufalme wa Mungu!+

  • 1 Timoteo 6:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Lakini wale wenye wameazimia kuwa matajiri wanaanguka katika jaribu na mutego+ na tamaa nyingi za upumbavu na zenye kuumiza, zenye zinaingiza watu katika uharibifu na maangamizi.+

  • 2 Timoteo 4:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu alipenda mupangilio wa mambo* wa sasa, na ameenda Tesalonike, Kresensi ameenda Galatia, Tito ameenda Dalmatia.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine