-
Marko 10:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Kisha kuangalia huku na huku, Yesu akaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale wenye kuwa na feza kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+
-
-
Luka 18:24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Yesu akamuangalia na kusema: “Itakuwa vigumu sana kwa wale wenye kuwa na feza kuingia katika Ufalme wa Mungu!+
-