23 Na mbegu yenye ilipandwa kwenye udongo muzuri, huyo ndiye mutu mwenye anasikia neno na kulielewa, mwenye kwa kweli anazaa matunda na kutoa, huyu mara mia moja (100), ule makumi sita (60), na ule mwingine makumi tatu (30).”+
15 Na mbegu zenye zilianguka kwenye udongo muzuri ni watu wenye, kisha kusikia neno kwa moyo muzuri na mwema,+ wanalichunga na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+