12 Kwa maana kila mutu mwenye kuwa na kitu ataongezewa, na atakuwa na mengi zaidi; lakini kila mutu mwenye hana kitu, atanyanganywa hata kile chenye iko* nacho.+
18 Basi, mukuwe waangalifu juu ya namna munasikiliza, kwa maana kila mutu mwenye iko* na kitu ataongezewa,+ lakini kila mutu mwenye hana kitu, atanyanganywa hata kile chenye anawaza iko* nacho.”+