Matayo 10:9, 10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Musibebe zahabu, feza, ao shaba kwenye mikaba* yenu ya kuwekea feza,+ 10 ao mufuko wa chakula kwa ajili ya safari, ao nguo mbili,* ao viatu, ao fimbo,+ kwa maana mufanyakazi anastahili chakula chake.+
9 Musibebe zahabu, feza, ao shaba kwenye mikaba* yenu ya kuwekea feza,+ 10 ao mufuko wa chakula kwa ajili ya safari, ao nguo mbili,* ao viatu, ao fimbo,+ kwa maana mufanyakazi anastahili chakula chake.+